Waandishi wa habari wa redio jamii Tanzania wakiendelea na mafunzo ya kuwajengea uwezo katika uandaaji wa vipindi bora na uhariri wa habari za jamii. - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Saturday 10 February 2018

Waandishi wa habari wa redio jamii Tanzania wakiendelea na mafunzo ya kuwajengea uwezo katika uandaaji wa vipindi bora na uhariri wa habari za jamii.



Waandishi wa habari wa redio jamii Tanzania wakiendelea na mafunzo ya kuwajengea uwezo katika uandaaji wa vipindi bora na uhariri wa habari za jamii.




Ikiwa leo ni siku ya tano ya mafunzo hayo yaliyoanza Jumanne 6 Februari hadi 13 2018 mjini Dodoma yakiwezesha na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu,Sayansi,na  Utamaduni ( UNESCO) yanayojumuisha mambo mbalimbali na leo yamejikita kwenye mada ya uandishi wa habari redioni , Jinsia na Jinsi.





Pia  wamepata nafasi ya kujadili ushiriki wa wanawake kwenye habari za michezo,na kubainisha kuwa ni mdogo.





No comments:

Post a Comment