UVCCM Tarime wafyatua toafali elfu tano, kuunga juhudi za DC - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Sunday 25 February 2018

UVCCM Tarime wafyatua toafali elfu tano, kuunga juhudi za DC

 Vijana wa UVCCM Wilaya ya Tarime Mkoani Mara wakiendelea na zoezi zima la  kufyatua tofali ili kuunga juhudi za Mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorious
Luoga kuhakikisha anajenga Nyumba 100 za Jeshi la Polisi na Magereza ili
kuondoa changamoto ya uhaba wa Nyumba za Watumishi hao.

No comments:

Post a Comment