Friday, 16 March 2018

'Nabii anaegawa hela Shillah' azungumza Kanisa kufutiwa usajili.

                

Nabii Daniely Shillah anaegawa hela kanisani kwake amezungumzia kuhusu Kanisa lake kufutiwa usajili. 

Hivi karibuni Nabii Shillah alishika kasi kwenye mitandao ya kijamii ikijinadi kuwa yeye kanisa lake halipo kwa maslahi binafsi.

No comments:

Post a Comment