Wakuuwa
Mikoa 10 Ukanda wa Magharibi wakiwa katika picha ya Pamoja ambapo
wamekutana hii leo Wilayani Tarime Mkoani Mara kwa lengo la kujadili suala zima la Ulinzi na Usalama, Ujirani
Mwema ,Masuala ya Uchumi na
Viwanda, Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Mama na Mtoto pamoja na Mada
nyingine.
Viwanda, Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Mama na Mtoto pamoja na Mada
nyingine.
Mkuu wa
Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ambaye ni Mwenyekiti wa kikao hicho akifungua kikao rasmi ameitaja Mikoa
inayoshiriki kuwa ni , Mwanza, Mara
Singida, Shinyanga, Tabora,Kagera,Kigoma,Katavi, Simiyu na Geita.
Singida, Shinyanga, Tabora,Kagera,Kigoma,Katavi, Simiyu na Geita.
Mkuuwa
Mkoa wa Mara Adam Malima ambaye ni Mwenyeji katika kikao hicho pia Makamu
Mwenyekiti akiwasilisha Mada zitakazojadiliwa katika Kikao hicho.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella akiongea na Waandishi wa habari.
Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima akiongea na Waandishi wa Habari.
No comments:
Post a Comment