Simba yapiga tizi la penati kujiwinda na Al masry - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Tuesday 13 March 2018

Simba yapiga tizi la penati kujiwinda na Al masry

                   

KLABU ya Simba imejifua kwa mara ya mwisho katika uwanja wa Boko Veteran, wakijiandaa na mechi ya marudiano dhidi ya Al Masry, mchezo utakaopigwa nchini Misri. 

Simba wanaenda katika mchezo huo huku wakiwa na kumbukumbu ya kutoka sare ya 2-2 kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Daresalaam

No comments:

Post a Comment