Wakili wa Abdul Nondo Afunguka Mazito - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Saturday 17 March 2018

Wakili wa Abdul Nondo Afunguka Mazito

                    

Kufuatia sakata la Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Abdul Nonda ambae pia kiongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania TSNP la kudaiwa kutekwa, leo Machi 17 Jebra Kambole ambae ni Wakili wa Mwanafunzi huyo amefunguka na kudai kuwa mpasa sasa hajaonana nae ili kujua kinachoendelea juu yake.

No comments:

Post a Comment