John Marwa katibu Tawala Tarime,Watumishi wa Umma fanyeni kazi. - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Wednesday 7 March 2018

John Marwa katibu Tawala Tarime,Watumishi wa Umma fanyeni kazi.

                            Katibu Tawala Wilaya ya Tarime John Marwa amewataka watumishi wa Umma Kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria za utumishi wa Umma na kufanya kazi bila ubaguzi wa Vyama, ikiwa nipamoja na kuondokana na suala zima la Rushwa, ni katika Kikao cha baraza la Wafanyakazi Tarime Vijijini kwa ajili ya kujadili Rasmi ya Mpango wa Bajeji mwaka wa Fedha 2018-2019.

No comments:

Post a Comment