Zao la Pamba Wilayani Bunda la wekewa mpango kazi wa kueleweka - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Thursday 21 December 2017

Zao la Pamba Wilayani Bunda la wekewa mpango kazi wa kueleweka

Zao la pamba limesisitizwa sana na serikali kuhakikisha katika mikoa inayolima zao hilo linaongeza uzalishaji kwa kiwango kikubwa.

Katika Wilaya ya Bunda Mkoani Mara kupitia Mkuu wake wa Wilaya mwl. Lydia Bupilipili aliagiza kila mwananchi alime hekar mbili huku akiagiza shule zote msingi na sekondari kuwa na shamba la pamba, mbali na hivyo aliagiza Halmashauri zote Wilaya na Mji ziwe na shamba darasa .

Katika kutaka kujuwa zaidi hatua zilizofikiwa kupitia agizo la Mkuu wa Wilaya tumemtafuta Mkaguzi na Mratibu wa zao la Pamba wilaya ya bunda bwana liberatus soka amesema kuwa

Hatua iliyofikiwa ni nzuri kwa sababu asilimia kubwa walegwa wametekeleza agizo la Mkuu wetu wa wilaya kwahiyo tunatarajia mambo mazuri katika musimu huu wa kilimo hasa kilimo cha zao la Pamba’alisema Soka

No comments:

Post a Comment