Mama amemficha mwanae ndani kwa sababu eti mwanae ni mgonjwa wilayani Bunda - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Tuesday 19 December 2017

Mama amemficha mwanae ndani kwa sababu eti mwanae ni mgonjwa wilayani Bunda

Mama mmoja majina tunayahifadhi anaeishi katika Kata ya Nyamakokoto halmashauri ya mji wa Bunda Mkoani Mara ameripotiwa kumfanyia mwanae wa kumzaa kitendo cha unyanyasaji wa kijinsi kwa kumficha ndani huku akiwa mgonjwa hali iliyompelekea mtoto huo jina tumeliifadhi kudhoofika.
Mtoto huyo mwenye miaka 9,inaelezwa kuwa ana kg.16 tu.

Aidha afisa ustawi wa jamii halmashauri ya mji wa bunda Pius Masalu amekiri kupata taarifa za mtoto huyo na kuongeza kuwa baada ya kufuatilia ilibainika kuwa jina aliloandikishwa kupata dawa hospitalini hapo ilibadilishwa mfano alikuwa anaitwa musa baadae mama yake aliamua kubadilisha jina lake na kumwita adam.

No comments:

Post a Comment