Waziri mkuu amesema serikali haina nafasi ya kuwavumilia wale wote wanaoharibu miradi ambayo serikali imetoa pesa ili kuwasaidia wananchi wake hivyo kabla wananchi hawajapata madhara mtu huyo au watu hao wataondolewa mara moja kwani inaonekana wazi wameshindwa kutimiza wajibu wao kikamilifu katika kuwatumikia wananchi.
Kutokana na kutokuridhishwa na mradi wa maji Bunda Waziri Mkuu ameagiza Mkandarasi wa mradi huo,meneja wa
maji Bunda ,Mhasibu wa Buwasa},Meneja wa majiMusoma ,Mhasibu MUWASA}, Wabunge wa majimbo yote matatu ya wilaya
ya Bunda pamoja na Mkuu wa wilaya Mwl, Lydia Bupilipili wakutane ikulu kujadili suala
hilo la maji kwa kina kabla hajachukua mamuzi.
Pamoja na hayo Waziri mkuu amewakumbusha vijana wa kiume kuwa miaka 30 iko palepale kwa yeyote ambaye atampa mimba mwanafunzi.
No comments:
Post a Comment