Majaliwa ahitimisha ziara ya mkoa wa mara. - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Monday 22 January 2018

Majaliwa ahitimisha ziara ya mkoa wa mara.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikata utepe kuzindua mabweni mawili ya Magufuli na Majaliwa katika Shule ya Sekondari ya Bumagi wilayani Butiama Januari 20, 2018.  Watatu kulia ni mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiaagana na viongozi wa mkoa wa Mara kwenye uwanja wa ndege wa Musoma baada ya kukamilisha ziara ya siku saba mkoani humo Januari 21, 2017. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Butiama, Nimrod Mkono (katikati) na mkewe Marylouise   Januari 202018,kabla ya kumkabidhi mbunge huyo cheti cha shukurani kilichotolewa na wilaya ya Butiama ili kuthami mchango wake mkubwa wa kujenga na kuchangia maendeleo ya elimu wilayani humo. Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye Chuo Kikuu cha Julius Kambarage Nyerere ambacho kilichojengwa na mbunge huyo kikiwa ni sekondari na kutokana na ubora wake kilibadilishwa kuwa Chuo Kikuu.   (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment