Diwani Flaviani Chacha akabidhi sare za CCM kwa Mabalozi kata ya Bunda Stoo - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Thursday 24 August 2023

Diwani Flaviani Chacha akabidhi sare za CCM kwa Mabalozi kata ya Bunda Stoo

This image has an empty alt attribute; its file name is img-20230824-113153-411-1024x768.jpg

This image has an empty alt attribute; its file name is img-20230824-111130-6-1024x576.jpg
Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Bunda, Ndugu Gasper Charles mkono wa kushoto akiwa na Diwani Flavian Chacha wakati wa zoezi la kukabidhi sare ya CCM kwa mabalozi kata ya Bunda Stoo
This image has an empty alt attribute; its file name is img-20230824-104101-222-1024x768.jpg
This image has an empty alt attribute; its file name is img-20230824-110822-967-1024x768.jpg
Mabalozi CCM kata ya Bunda Stoo wakiwa katika ukumbi dakika chache kabla ya kukabidhiwa sare ya CCM na Daftari kwa ajili ya kuweka kumbukumbu.
This image has an empty alt attribute; its file name is img-20230824-115715-771-1024x768.jpg
This image has an empty alt attribute; its file name is img-20230824-115731-272-1024x768.jpg
Mabalozi wa CCM kata ya Bunda Stoo wakiwa na viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa sare ya CCM

Na Edward Lucas

Diwani wa kata ya Bunda Stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara, Mhe. Flavian Chacha Nyamigeko atimiza ahadi yake kwa kuwakabidhi sare ya CCM kwa mabalozi kata ya Bunda Stoo.

Katika hafla hiyo iliyofanyika leo tarehe 24 Agosti 2023 saa 4:00 Asubuhi Ukumbi wa Village kata ya Bunda Stoo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Chama wakiongozwa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Bunda, Ndugu Gasper Charles ambapo sambamba na sare hiyo ambayo ni shati mabalozi hao walikabidhiwa pia madaftari na kalamu ili kuwawezesha kutunza kumbukumbu mbalimbali.



No comments:

Post a Comment