Wananchi wa manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wameingia katika hali ya
sintofahamu baada ya madereva pikipiki maarufu kama bodaboda kuuawa
mfululizo na watu wasiojulikana na wanaachiwa kila kitu walichonacho
pamoja na pikipiki zao, hali hiyo inatokea majira ya usiku wanapokodiwa
kupeleka abiria.
Akiongea na waandishi wa habari Mkuu wa mkoa wa Kagera Meja Jeneral
Mstaafu Salum Kijuu amesema kuwa taarifa hizo wameshazipokea na
inasemekana ndani ya wiki moja wameuawa madereva pikipiki watatu katika
maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment