Rais Samia Amlilia Membe - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Friday 12 May 2023

Rais Samia Amlilia Membe

 


Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na taarifa za kifo cha mwanasiasa na  waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe kilichotokea leo.

Rais ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram: Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Ndugu Bernard Membe. Kwa zaidi ya miaka 40 Ndugu Membe alikuwa mtumishi mahiri wa umma, mwanadiplomasia, Mbinge na Waziri aliyetumikia nchi yetu kwa weledi.

Pole kwa familia, ndugu, jamaa&marafiki. Mungu amweke mahali pema. Amina.

No comments:

Post a Comment