Mazingira Fm Nikituo Cha Radio Kiliopo Wilayani Bunda Mkuoni Mara,
Wednesday, 13 September 2023
Zoezi la Upandaji wa Miti katika bonde la Mto Mara linaendelea
Viongozi kutoka idara na taasisi mbalimbali wakishirikiana na wananchi kupanda miche na kuweka bikoni kando ya bonde la Mto Mara
Na Edward Lucas
Viongozi kutoka WWF kwa kushirikiana na taasisi zingine pamoja wananchi wameshirikiana kwa pamoja kupanda miche kandokando ya bonde la Mto Mara eneo la kijiji cha Borenga Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.
No comments:
Post a Comment