Zoezi la Upandaji wa Miti katika bonde la Mto Mara linaendelea - Mazingira FM

Mazingira Fm Live

Breaking News

Wednesday 13 September 2023

Zoezi la Upandaji wa Miti katika bonde la Mto Mara linaendelea


Viongozi kutoka idara na taasisi mbalimbali wakishirikiana na wananchi kupanda miche na kuweka bikoni kando ya bonde la Mto Mara

Na Edward Lucas

Viongozi kutoka WWF kwa kushirikiana na taasisi zingine pamoja wananchi wameshirikiana kwa pamoja kupanda miche kandokando ya bonde la Mto Mara eneo la kijiji cha Borenga Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.

No comments:

Post a Comment